Unordered List

Definition List

Sababu Za Kupendwa Na Waume, Jokate Abainisha

Huku msanii Lulu Michael akiendelea kusema kuwa yeye hupendwa kutongozwa bila kutoa sababu zozote, mrembo anayefanya vizuri katika mambo mengi sana nchini Jokate Mwegelo amezungumza na kutaja Mambo manne yanayomfanya apendwe sana na wanaume wengi hapa nchini.

1. Kujiamini Hii ndi sababu kubwa ya kwanza aliyoitaja jokate. Ansema hamna kitu kinachowavutia watu, hasa wananume kama kujiamini. Mwanaume anapenda msichana anayejiamini. Zaidi ya yote hamna kitu kinachosema kuwa “I’m sexy” Zaidi ya mwanamke anayejiamini

2. Kujitegemea Hii ni kama sababu ya kwanza hapo juu, Jokate anasema hamna kitu kinachowaboa wanaume kama mwanamke ambaye anapenda vitu vya kupewa. Ukimuonesha mwanaume wewe unapenda kutafuta vya kwako basi jua atakupenda sana

3. Kupendeza Jokate anasema ni muhimu kwa wadada kuvaa nguo nzuri ambazo zitakupendeza kulingana na mwili wako hasa hasa nguo zenye rangi ya kuonekana.

4. Tabasamu Tabasamu kila saa kwani tabasamu linakufanya unaonekana mzuri Zaidi
Sababu Za Kupendwa Na Waume, Jokate Abainisha Sababu Za Kupendwa Na Waume, Jokate Abainisha Reviewed by Admin on Thursday, November 28, 2013 Rating: 5

No comments:

Tunapenda kuyasoma maoni/reaction kutoka kwako!

Kama una maoni tofauti na chapisho la hapo juu, wasiliana nasi kupitia ukurasa wetu wa mawasiliano

Powered by Blogger.