Unordered List

Definition List

Profesa J Akumbwa Na Ajali

profesa j katika ajali
Mwanamuziki wa Hip hop, Joseph Haule 'Profesa Jay' amepata ajali ya gari baada ya kuparamia kifusi akijaribu kumkwepa mtu eneo la Kimara-Baruti, jijini Dar wakati akitoka nyumbani kwake Mbezi! Prof hajaumia sana katika ajali hiyo japo gari lake limeharibika.Tukio lote hili lilifanyika leo 11 Novemba wakati wa majira ya asubuhi.
Profesa J Akumbwa Na Ajali Profesa J Akumbwa Na Ajali Reviewed by Admin on Monday, November 11, 2013 Rating: 5

No comments:

Tunapenda kuyasoma maoni/reaction kutoka kwako!

Kama una maoni tofauti na chapisho la hapo juu, wasiliana nasi kupitia ukurasa wetu wa mawasiliano

Powered by Blogger.