Unordered List

Definition List

Mastaa 9 Ambao Washalala Na Kim Kardashian: Kujikumbusha Tu!

Hebu mwanzo tuweke wazi hapa kabla hatuja dondosha list nzima ya wanaume aliokuwa nao Kim Kardashian, hatuwezi kusema Kim ni [ingiza neno lako hapa] kwa kuwa na mahusiano na wanaume 9 kwa muda wa miaka 33.

Unaweza kumhukumu staa huyu kwa kuwa na ndoa mbili za kuvunjika, na pia ule wakati alipotoa video ya ngono ya Kim Kardashian. Lakini kwa ujumla mwanadada huyu ni mstaarabu mwenye kutulia na mume mmoja.

Kuwa na wachumba 9 kwa muda wa zaidi ya mwongo moja na nusu....ni jambo la kawaida kwa wengine.

Kim ameweza kuwa na uhusiano wa kimapenzi na wengine (Gabriel Aubry, Nick Lachey) lakini hio list hatutaingiza hapa ndani.

Kutoka tangu ule wakati ambapo staa huyu alikuwa hajulikani, hadi kwa yule aliyeigonga wa kwanza hadi wasasa...waweza kumkumbuka mmoja?

Cheki list ya mastaa 9 ambao washawahi kuwa na Kim Kardashian maishani mwake:

T.J Jackson, mpwa wa Michael. Huyu ndie mpenzi wa Kim wa kwanza kila kitu.
Damon Thomas. Bwana wa kwanza wa Kim aliyesahaulika 2000-04
Nick Cannon. 06-07. Wakati huu walijivinjari kwa muda
The Game anapinga kuwa na mahusiano na Khloe, lakini Kim alikuwa naye
Ray J. Kim anamshukuru Ray kwa kutoa filamu ya ngono. Imemfanya kuwa supastar
Baada ya Ray kuingonga mara ya kwanza, Reggie Bush alichukua uskani. Mahusiano yao yalidumu
Dallas Cowboys aliweza kuweka uhusiano wa nguvu na Kim, lakini wa mbali
Kris Hamphries. Walioana kwa siku 72 kabla Kim kumtema jamaa huyu
Kanye West amefunga ukurasa kwa kumpatia Mtoto na pia kumvisha pete. Mahusiano yao yatadumu kweli?

Mastaa 9 Ambao Washalala Na Kim Kardashian: Kujikumbusha Tu! Mastaa 9 Ambao Washalala Na Kim Kardashian: Kujikumbusha Tu! Reviewed by Admin on Monday, March 10, 2014 Rating: 5

No comments:

Tunapenda kuyasoma maoni/reaction kutoka kwako!

Kama una maoni tofauti na chapisho la hapo juu, wasiliana nasi kupitia ukurasa wetu wa mawasiliano

Powered by Blogger.