Unordered List

Definition List

Mtangazaji Wa Clouds Fm Aleta Aibu Mtandaoni.

Mtangazi Adam Mchomvu wa Clouds fm ameonyesha upumbavu baada ya kupost picha katika instagram ambayo imemuonyesha akidondokwa na kamasi kama mtoto mdogo. Hii imeonyesha kuwa mtangazaji huyu ana ishara ya akili finyu na wengine wamekisia kuwa ni uvutaji mwingi wa bangi.

Mafans wake katika mtandao wa instagram walimshambulia. Na haya ndio baadhi ya maoni yaliyotolewa kuhusu picha hiyo.


Mtangazaji Wa Clouds Fm Aleta Aibu Mtandaoni. Mtangazaji Wa Clouds Fm Aleta Aibu Mtandaoni. Reviewed by Admin on Sunday, October 13, 2013 Rating: 5

1 comment:

Tunapenda kuyasoma maoni/reaction kutoka kwako!

Kama una maoni tofauti na chapisho la hapo juu, wasiliana nasi kupitia ukurasa wetu wa mawasiliano

Powered by Blogger.