Unordered List

Definition List

Laana!!! Jombi Aoa Mbwa Wake Wa Kiume

Kulizuka mshangao baada ya jamaa mmoja kufanya ndoa na mbwa wake wa kiume nchini marekani San Fransisco. Paul Horner 35,aliweza kufanya ndoa na mbwa wake kwa jina Mac wa miaka ya mbwa 36.

Kasisi aliyeweza kufunganisha ndoa hio kwa jina McHale alikuwa mwenye tabasamu na furaha wakati wa kufungisha ndoa hio. "Hili ndilo dhihirisho kuu kwa binadamu kufunga ndoa na mbwa wake. Hii inaonyesha 'true love' kwa wawili hawa" kasisi huyo aliongea. " Sasa kwa sababu ndoa ya binadamu na wanyama ni halali jimbo hili, wawili hawa wataenjoy huduma zote zikiwemo ushuru kwao." aliendelea kuongea kasisi huyo.


Jambo hili lilifikiahe hadi kuwa hivi?

Kulingana na kitabu cha sheria cha jimbo hilo kilichoundwa mwaka wa 1850, kulingana na sheria inayopatikana katika kijitabu cha 155, sentensi ya 10 inasema kuwa ikitimia ule wakati ambapo binadamu wataoana jinsia moja basi pia wanyama na binadamu watakuwa na haki io hio.

If a man and a man can get married and a woman and a woman can get married, if ever comes that day, then a human and animal will have the exact same rights to marriage in every eye of the law.

Laana ishaingia ulimwenguni. Dunia imefikia wapi?

Baada ya kuulizwa mbona hivyo tena? Jombi huyo alijibu kuwa yeye anataka haki kama mtu yeyote Carlifornia ambaye anaweza kuoa bila kuulizwa maswali yeyote. "Huwezi kunizuia kumuoa mbwa wangu. Siwezi kukuuliza ukioa mwanamke mnene mwenye matatizo. Nampenda mbwa wangu na yeye ananipenda mara 100 kuliko wanandoa wowote mabasha nchini." Jamaa huyo aliongea huku akijisifu.

t
Mbwa kaoa binadamu...twatarajia makuu katika dunia hii
Laana!!! Jombi Aoa Mbwa Wake Wa Kiume Laana!!! Jombi Aoa Mbwa Wake Wa Kiume Reviewed by Admin on Saturday, February 08, 2014 Rating: 5

No comments:

Tunapenda kuyasoma maoni/reaction kutoka kwako!

Kama una maoni tofauti na chapisho la hapo juu, wasiliana nasi kupitia ukurasa wetu wa mawasiliano

Powered by Blogger.