Unordered List

Definition List

Sababu Za Lulu Kumkataa Diamond Platinumz

Diamond ni msanii anayesifika kanda nzima ya Afrika Mashariki, ni staa ambaye anamiliki game ya bongo flava na pia ni msanii ambaye anakisiwa kulipwa zaidi Tz na EA nzima.

Lakini mbona Lulu aliukataa mshiko wa Diamond?

Jibu rahisi, Diamond ni msanii anayependa wanawake ovyo, msanii asiyeeleweka mambo yake, mara anasemakana amefanya hivi kumbe sivyo. Hivi juzi tu Diamond alijishasha kuwa alikuwa msanii wa pekee aliyealikwa katika harusi ya Peter wa P-Square lakini kumbe ilikuwa uwongo mtupu kwani aliaibishwa na mastaa hao wawili kuwa hawamfahamu Diamond ni nani.

Kitu kingine Lulu atakuwa amemkataa Diamond ni kwa sababu ya skendo nyingi kati yake, Wema na Penny.

Lulu mwache aishi vile atakavyo yeye wala asitiwe usumbufu kwa sababu yeye bado mdogo sana na ana muda mrefu wa kuchagua amtakae...labda Justin Bieber hivi kwa sababu tayari ashakiri pendo lake kwa Justin Bieber. Ndoto yake itatimia kweli.

Cheki picha za Lulu mpya hapa akiwa amevalia nyeupe na nywele style mpya.>>>HAPA<<
Sababu Za Lulu Kumkataa Diamond Platinumz Sababu Za Lulu Kumkataa Diamond Platinumz Reviewed by Admin on Friday, November 29, 2013 Rating: 5

No comments:

Tunapenda kuyasoma maoni/reaction kutoka kwako!

Kama una maoni tofauti na chapisho la hapo juu, wasiliana nasi kupitia ukurasa wetu wa mawasiliano

Powered by Blogger.