Unordered List

Definition List

AMEVURUGWA!!! Aliyekuwa Waziri Mkuu Kenya Raila Odinga Akubaliana Na Obama Kuanzisha Ndoa Ya Jinsia Moja Kenya

Aliyekuwa waziri mkuu nchini Kenya Raila Odinga ameliambia shirika moja kuu la habari nchini Marekani kuwa anatoa full support kuanzishwa kampeni ya ndoa ya jinsia moja nchini Kenya.

Katika mahojiano na Radio Boston siku ya Jumamosi, Raila ambaye ni mpinzani mkuu wa serikali ya Uhuru, alisema ya kuwa mashoga na wasagaji wanafaa kuruhusiwa kuoana wenyewe kwa wenyewe sababu ya kuwa wote ni binadamu.

Alisema kuwa mapenzi ya jinsia moja yalikuwapo zamani za kali na hivyo nchi ya Kenya haina budi kufuata mkondo huo.

Huku akiongea, Raila amedai kuwa akirudi nchini Kenya siku ya 30 mwezi huu, atawashawishi wanachama wote wa CORD kufanya kampeni ya kusapoti janga hilo nchi nzima.

Nchini Kenya haswa Nairobi, ndoa ya jinsia moja imekithiri kiasi cha kuwa kumefunguliwa makalisa spesheli ya mashoga huku wahubiri wengi toka makanisa tofauti wakifanya kampeni ya kuwaunganisha mashoga wote nchini humo.

TISHA!!!
 
AMEVURUGWA!!! Aliyekuwa Waziri Mkuu Kenya Raila Odinga Akubaliana Na Obama Kuanzisha Ndoa Ya Jinsia Moja Kenya AMEVURUGWA!!! Aliyekuwa Waziri Mkuu Kenya Raila Odinga Akubaliana Na Obama Kuanzisha Ndoa Ya Jinsia Moja Kenya Reviewed by Admin on Monday, May 26, 2014 Rating: 5

No comments:

Tunapenda kuyasoma maoni/reaction kutoka kwako!

Kama una maoni tofauti na chapisho la hapo juu, wasiliana nasi kupitia ukurasa wetu wa mawasiliano

Powered by Blogger.