Unordered List

Definition List

Tisha!! Makahaba Jijini Kisumu Kutoa Ngono Ya Bure Kwa Wateja Ili Kumkaribisha Raila Odinga

Aliyekuwa waziri mkuu nchini Kenya Raila Odinga amekuwa gumzo kila mahali nchini Kenya na kuja kwake wikendi hii imewapa motisha makahaba wa Kisumu City kutoa ngono ya bure siku ya Jumamosi kumkaribisha 'baba'.

Kulingana na paparazi aliyewasiliana na bkuHABARI ni kuwa mji huo muda huu umejaa kila aina ya watu na kwa wiki sasa kazi ya usiku imekuwa nzuri kiasi cha kuwa makahaba jijini humo wameamua kugawa bure siku ya Jumamosi.

"Malaya wote hapa Kisumu hiyo siku Baba anashuka kwa ndege hii kitu tunawapatia bure" Haya yalikuwa maneno ya mmoja wa makahaba maarufu anayegawa katika kilabu maarufu kijulikanacho kama Octopus Club.

Tisha!! Makahaba Jijini Kisumu Kutoa Ngono Ya Bure Kwa Wateja Ili Kumkaribisha Raila Odinga Tisha!! Makahaba Jijini Kisumu Kutoa Ngono Ya Bure Kwa Wateja Ili Kumkaribisha Raila Odinga Reviewed by Admin on Friday, May 30, 2014 Rating: 5

No comments:

Tunapenda kuyasoma maoni/reaction kutoka kwako!

Kama una maoni tofauti na chapisho la hapo juu, wasiliana nasi kupitia ukurasa wetu wa mawasiliano

Powered by Blogger.