Hakuna siku nzuri ambayo wanawake wanatamani kama ile siku wanaume zao wataambia 'Nataka Nikuoe'.
Na jamaa huyu alichukua mkondo wa kivyake kwa kutaka 'kumsaprise' mpenziwe kwa kumtajia maneno hayo wakiwa ndani ya ndege.
Cheki picha ya bingwa huyu akimpigia magoti mpenziwe ndani ya ndege.
Picha hizi ziliweza kunasuliwa na abiria mmoja na kuzirusha kwa mtandao wa Twitter huyu akidai kuwa alitabiri jamaa huyu alikuwa ana mambo yasiyo ya kawaida wakati aliposimama kutoka kwa kiti chache.
Cheki baadhi ya picha nyingine na Twitter 'paparazi' huyo alizoziachilia kwa mtandao.
Na jamaa huyu alichukua mkondo wa kivyake kwa kutaka 'kumsaprise' mpenziwe kwa kumtajia maneno hayo wakiwa ndani ya ndege.
Cheki picha ya bingwa huyu akimpigia magoti mpenziwe ndani ya ndege.
![]() |
Cheki baadhi ya picha nyingine na Twitter 'paparazi' huyo alizoziachilia kwa mtandao.
![]() |
| Twitter za 'paparazi' akieleza tukio zima |
![]() |
| Jombi katika pozi la magoti huyu akimuomba mpenziwe amkubali |
![]() |
| Hahahah nani anaweza kukataa jambo kama hili wakati mko futi zaidi ya alfu hewani, atachizika |
Jombi Ampigia Magoti Mpenziwe Kwa Ndege Ili Amuoe
Reviewed by Admin
on
Tuesday, April 01, 2014
Rating:
Reviewed by Admin
on
Tuesday, April 01, 2014
Rating:










No comments:
Tunapenda kuyasoma maoni/reaction kutoka kwako!
Kama una maoni tofauti na chapisho la hapo juu, wasiliana nasi kupitia ukurasa wetu wa mawasiliano